MatokeoChanya

RAIS SAMIA ANASHIRIKI KWENYE MJADALA WA WAKUU WA NCHI AFRIKA MASHARIKI

Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameongoza Mkutano wa 24 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika jijini Arusha. Mkutano huu umewaleta pamoja viongozi wa nchi wanachama kujadili masuala muhimu yanayoathiri kanda na mustakabali wa jumuiya. Mantiki ya Mjadala: Ufadhili Endelevu wa Jumuiya: Wakuu …

Soma zaidi »

MIAKA 63 YA UHURU WETU MAANDAMANO MAKUBWA YAKIFUATIWA NA KULIOMBEA TAIFA MKOANI ARUSHA

Katika kuadhimisha miaka 63 tangu Tanganyika ipate uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961, mkoa wa Arusha umeandika historia kwa kushuhudia maandamano makubwa na maombi maalum ya kuliombea taifa. Tukio hili, lililovuta hisia za wengi, limeleta pamoja maelfu ya wananchi kutoka makundi mbalimbali ya kijamii, wakiwemo viongozi wa dini, serikali, wanaharakati, …

Soma zaidi »

KUONGEZEKA KWA MATUMIZI YA UMEME, KIASHIRIA CHA KUKUA KWA UCHUMI – DKT. BITEKO

“ Mkifanyabiashara maana yake mahitaji ya nishati ya umeme yanaongezeka na hii ni kwa sababu viwanda vingi vimejengwa na uchumi unachangamka. Tunaanza kuona wananchi wanatumia umeme megawati 52 na viwanda vinatumia megawati 48 hii ni kiashiria kuwa uchumi unaendelea kukua vizuri,” amebainisha Dkt. Biteko.

Soma zaidi »

Ujenzi wa Shule ya Sekondari Ubaruku, Serikali Yatoa Milioni 583 kwa Wananchi wa Mbarali

Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwekeza katika sekta ya elimu kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 583 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Ubaruku, iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali. Mradi huu unalenga kuboresha upatikanaji wa elimu kwa vijana wa eneo hilo na kupunguza changamoto ya …

Soma zaidi »

SHEHE WA MKOA WA ARUSHA SHABAN JUMA ABDALAH: KULINDA MAZINGIRA NI MIONGONI MWA NEEMA ZA MUNGU KWETU

Nchi inaposhindwa kulinda Neema ya mazingira kwa ajili yetu na kizaji kijacho Mungu anaweza kuondosha Neema nyingine nyingi kwenye nchi. Ameahidi kumuunga mkono na yupo tayari kupokea maagizo yoyoyte ya Rais Mhe Samia Suluhu Hassan ya kulinda Mazingira.

Soma zaidi »

Askofu Dkt Maasa OleGabriel RAIS SAMIA ANATEKELEZA MAAGIZO YA MUNGU YA KUITUNZA BUSTANI YA EDENI

Askofu Dkt. Maasa OleGabriel Katibu Mkuu Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania na Askofu wa Jimbo wa Makanisa ya International Evangelisim Arusha – Ameeleza Jinsi ambavyo Kanisa linamuunga mkono Rais Samia Katika Utunzaji wa Mazingira kama agizo la Kwanza la Mungu kwa Adamu (binadamu) kuitunza Bustani ya Edeni.

Soma zaidi »

Takwimu za Maendeleo ya Miundombinu ya Barabara Jijini Dar es Salaam

Jiji la Dar es Salaam limeendelea kushuhudia maendeleo makubwa katika ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya barabara ili kukidhi mahitaji ya wakazi wake wanaoongezeka kwa kasi. Serikali, kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara …

Soma zaidi »