DHAHABU YA KIJANI INAYOINGIZA MABILIONI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA MISENYI

Misenyi – kitovu cha uzalishaji wa kahawa bora aina ya Robusta inayotikisa masoko ya kimataifa! Kwenye video hii, utajionea jinsi wilaya hii ya Mkoa wa Kagera ilivyogeuza kahawa kuwa chanzo kikuu cha mapato, kuingiza zaidi ya TZS Bilioni 2 kwa mwaka kupitia ushuru wa mazao na biashara.

👩🏽‍💼 Sikiliza kauli ya Bi. Tapita Solomon, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misenyi, akieleza mafanikio haya makubwa.

📈 Fahamu jinsi zaidi ya hekari 12,000 zinavyotumika kwa kilimo cha kahawa, na namna wakulima wadogo 20,000+ wanavyonufaika moja kwa moja.

🌍 Tazama namna kahawa hii ya Robusta inavyosafirishwa hadi Ujerumani, Italia, Ufaransa na Marekani, na kutajwa kuwa miongoni mwa bora Afrika Mashariki katika Maonyesho ya Dunia ya Kahawa, Milan 2023.

🔥 Hii ni hadithi ya mafanikio, ujasiri, na uzalishaji wa kilimo chenye thamani ya kimataifa – usikose!

🔔 Subscribe, like na share kufikisha habari hii kwa kila Mtanzania na mpenzi wa kahawa duniani!

#KahawaYaMisenyi #RobustaCoffee #KahawaBora #KilimoBiashara #MisenyiDistrict #Kagera #TanzaniaCoffee #DhahabuYaKijani #MatokeoChanyA+ #SioNdotoTena

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *