Maktaba ya Kila Siku: April 18, 2025

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKAGUA KAMPASI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM MKOANI KAGERA

Katika tukio la kihistoria mkoani Kagera, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ameongoza uzinduzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatua muhimu ya kupeleka elimu ya juu karibu zaidi na wananchi wa Kanda ya Ziwa. Tukio hili limechukua sura ya kipekee baada ya wananchi …

Soma zaidi »