Amani ni nguzo kuu katika uchaguzi mkuu wa 2025 nchini Tanzania. Bila amani, hakuna uchaguzi huru, haki, wala maendeleo ya demokrasia. Amani hutuliza jamii, huimarisha mshikamano, na kuruhusu wananchi kushiriki uchaguzi kwa utulivu, uhuru na matumaini ya kesho bora. #amaniNaUtulivu
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: April 19, 2025
SERIKALI YAJIPANGA KUHAKIKISHA MAJI KWA WOTE. – DK. NDUMBARO AIKAGUA BIHARAMULO
Waziri Dk. Damas Ndumbaro Akagua Mradi Mkubwa wa Maji Biharamulo – Dhamira ya Serikali Kuwafikia Watanzania kwa Vitendo
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+