Maktaba ya Kila Siku: April 23, 2025

ADA TADEA KUSIMAMISHA WAGOMBEA UDIWANI NA UBUNGE, NAFASI YA RAIS KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Mkoa wa Songea, Alli Sadiki Mapunda, ametangaza kuwa chama chao kipo tayari kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amesema kuwa ADA TADEA itasimamisha wagombea katika nafasi zote za udiwani na ubunge, …

Soma zaidi »

JE, UNAFAHAMU JINSI BWAWA LA UMEME LA MWALIMU NYERERE LINAVYOBADILISHA MAISHA YA WATANZANIA

Karibu katika video hii maalum inayochambua kwa kina mradi mkubwa wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP), mradi wa kihistoria unaotarajiwa kuzalisha megawati 2,115 za umeme. Mradi huu unalenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa umeme nchini kutoka megawati 1,900 hadi zaidi ya 4,000, hatua itakayosaidia kukabiliana na mgao …

Soma zaidi »