Maktaba ya Kila Siku: April 22, 2025

KIPINDI CHA UCHAGUZI NI KIPINDI CHA KUWAELEKEZA WATU…! RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisisitiza umuhimu wa kutoa elimu kwa wananchi kuhusu masuala ya uchaguzi, demokrasia, na maamuzi sahihi ya kuijenga nchi. Katika ujumbe huu wa kihistoria, Rais Samia anawakumbusha viongozi wa kisiasa, taasisi, na wananchi kwa ujumla kuwa kipindi cha uchaguzi …

Soma zaidi »