Maktaba ya Mwezi: September 2025

UNAJUA KINACHO ENDELEA BONDE LA MOMBO? ZAIDI YA HEKTA 200 ZINALIMWA MPUNGA

Mikopo Nafuu Yaleta Mapinduzi ya Kilimo Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuonyesha dhamira ya dhati ya kuinua sekta ya kilimo nchini. Kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), wakulima wa Skimu ya Umwagiliaji Mombo wamepata fursa ya kupata mikopo …

Soma zaidi »

UKIONA FULSA CHANGAMKIA, SIKILIZA NA JIFUNZE KWA WATANZANIA WA KISHAPU FOOD WALIVYOWEZESHWA NA TADB

Katika video hii tunakupeleka Kishapu, ambako Watanzania wa Kishapu Food wamepata uwezeshaji mkubwa kupitia TADB (Tanzania Agricultural Development Bank). Utajifunza: ✅ Jinsi TADB inavyowawezesha vijana na wakulima kupata mikopo nafuu. ✅ Hatua zilizochukuliwa na Kishapu Food kufanikisha ndoto zao. ✅ Ushauri kwa vijana na wajasiriamali wa Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo …

Soma zaidi »