Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), katika kuadhimisha Siku ya Usafi Duniani tarehe 20 Septemba,2025 kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa mazingira wakiwemo DEPO, limefanya usafi Hospitali ya Mwananyamala na maeneo mengine nchi nzima ambapo Kanda 13 zikitoa huduma za Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira.
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: September 20, 2025
NEMC Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wameungana na watumishi wa taasisi zingine katika maadhimisho ya siku ya usafi duniani kufanya usafi katika soko la Soweto,zoezi liliratibiwa na Hlmashauri ya Jiji la Mbeya kupitia kitengo chake cha usimamizi wa takangumu
NEMC Kanda ya Bagamoyo kwa kushirikiana na Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo pamoja na wadau mbalimbali, imeshiriki Maadhimisho ya Siku ya Usafi Duniani kwa kufanya usafi katika fukwe za bandari ya Bagamoyo
SIKU YA USAFI DUNIANI
NEMC katika kuadhimisha Siku ya Usafi Duniani tarehe 20 Septemba, 2025 kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa mazingira wakiwemo DEPO, imefanya usafi Hospitali ya Mwananyamala na maeneo mengine nchi nzima ambapo Kanda 13 zimetoa huduma ya Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+