NEMC yaungana na wadau mbalimbali katika kuadhimisha Siku ya Afya mazingira Duniani, ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 26 Septemba. Siku hii inakumbusha jamii kuhusu wajibu wa kulinda afya za watu na mazingira yanayotuzunguka

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *