NEMC yaungana na wadau mbalimbali katika kuadhimisha Siku ya Afya mazingira Duniani, ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 26 Septemba. Siku hii inakumbusha jamii kuhusu wajibu wa kulinda afya za watu na mazingira yanayotuzunguka
MatokeoChanya
September 26, 2025
CCM, Matokeo ChanyA+, MAZINGIRA, NEMC, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+
32 Imeonekana