Maktaba ya Kila Siku: August 13, 2025

DCEA NA ITV WAWEKA MIKAKATI YA USHIRIKIANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA

Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amefanya ziara maalum katika ofisi za ITV zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo ililenga kuimarisha ushirikiano kati ya Mamlaka na kituo hicho cha habari katika juhudi za kuhabarisha na kuelimisha umma juu ya …

Soma zaidi »