KUNA JAMBO LA KUJIVUNIA TANZANIA UKIFIKA KATIKA MAONESHO YA KILIMO NANE NANE NZUGUNI DODOMA

Kilimo ni shughuli ya uzalishaji wa mazao ya chakula, biashara na malisho kwa kutumia ardhi, mbolea, maji, nguvu kazi, teknolojia na maarifa. Kilimo pia hujumuisha ufugaji wa wanyama, uvuvi, na shughuli nyingine za kuongeza thamani kama usindikaji wa mazao na uhifadhi.

#mazingira #samiasuluhuhassan๐Ÿ˜โค๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #VPO #sisinitanzania #ikulumawasiliano #nemctanzania @nemctanzania

Unaweza kuangalia pia

๐Ÿ”ด LIVE: SAMIA SULUHU HASSAN AINGIA KWA KISHINDO MBEYA โ€“ MBALIZI

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili Mbalizi, Mbeya, kwa kishindo kikubwa akipokelewa na umati wa wananchi …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *