Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeshiriki katika Maonesho ya Nanenane kwa lengo la kutoa elimu kwa wananchi juu ya madhara ya matumizi ya dawa za kulevya na kuwahamasisha kushiriki katika shughuli halali za uzalishaji mali, hususan kilimo, ufugaji na uvuvi. Kamishina Jenerali wa DCEA, Aretas …
Soma zaidi »KUNA JAMBO LA KUJIVUNIA TANZANIA UKIFIKA KATIKA MAONESHO YA KILIMO NANE NANE NZUGUNI DODOMA
Kilimo ni shughuli ya uzalishaji wa mazao ya chakula, biashara na malisho kwa kutumia ardhi, mbolea, maji, nguvu kazi, teknolojia na maarifa. Kilimo pia hujumuisha ufugaji wa wanyama, uvuvi, na shughuli nyingine za kuongeza thamani kama usindikaji wa mazao na uhifadhi. #mazingira #samiasuluhuhassan😍❤🇹🇿 #VPO #sisinitanzania #ikulumawasiliano #nemctanzania @nemctanzania
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA NANENANE KITAIFA JIJINI DODOMA
RAIS AKITEMBELEA BANK YA KILIMO KAMA MDHAMINI MKUU WA MAONESHO YA NANENANE
Sauti ya Mkulima Inasikika Nanenane – Kilimo siyo Hadithi Tena
Kauli “Sauti ya Mkulima Inasikika Nanenane – Kilimo Siyo Hadithi Tena” ni mwito na ushahidi wa mabadiliko chanya yanayotokana na uwekezaji katika maarifa, miundombinu, teknolojia na ushirikiano kati ya serikali, sekta binafsi na wakulima. Nanenane si tukio la maonyesho tu – ni daraja kati ya mkulima wa jana na shujaa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+