Kuanzia Mei 14 hadi 19, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imefanikisha uteketezaji wa ekari 157 zamashamba ya bangi yaliyokuwa katika vijiji vya Ntomoko, Kinyasi na Haubi

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *