Mkutano maalum kati ya Waziri wa Katiba na Sheria na Waandishi wa Habari umefanyika Jijini Dodoma kwa lengo la kujibu hoja, kuelimisha umma na kueleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa katika maboresho ya sheria na upatikanaji wa haki kwa wananchi.
Usikose kufuatilia majibu ya Waziri kuhusu masuala ya usuluhishi (ADR), msaada wa kisheria, na utekelezaji wa haki za msingi kwa Watanzania.
#WaziriWaSheria #KatibaNaSheria #DodomaUpdates #UsuluhishiADR #HakiKwaWote #LegalAidTanzania #MamaSamia #SheriaNiMsingi #TanzaniaLeo #SerikaliYasikiliza
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+