Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amekutana na Watendaji wa Benki ya NMB, Vicky Bishubo, Meneja mahusiano Benki na Serikali waliofika kujitambulisha na kutambulisha Wizarani bidhaa mbalimbali zinazotolewa na Benki hiyo
MatokeoChanya
May 8, 2025
CCM, Demokrasia, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Matokeo ChanyA+, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+, UCHUMI, WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
224 Imeonekana