๐Ÿ”ฅ RIDHIWANI KIKWETE AWASISIMUA MAELFU MEI MOSI 2025 SINGIDA | KAULI MOTO KWA WAFANYAKAZI ๐Ÿ”ฅ

Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu), ametoa hotuba yenye msukumo mkubwa katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika Kitaifa leo tarehe 1 Mei 2025 mkoani Singida.

Katika hotuba hiyo, Mhe. Waziri amewapongeza wafanyakazi kwa mchango wao mkubwa katika ujenzi wa Taifa na kueleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha ajira, kukuza ujuzi kwa vijana, na kulinda haki za wafanyakazi na watu wenye ulemavu.

๐ŸŽค Mgeni Rasmi: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

๐Ÿ“… Tarehe: 1 Mei 2025

๐Ÿ“ Mahali: Singida โ€“ Uwanja wa Namfua

๐Ÿ‘ค Mzungumzaji: Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete โ€“ Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)

#MeiMosi2025 #RidhiwaniKikwete #Wafanyakazi #Ajira #Vijana #SamiaSuluhu #Singida #TanzaniaKazini #WenyeUlemavu

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *