Wameeleza furaha yao juu ya ujio wa Mhe Rais Samia kwenye maadhimisho hayo ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Singida.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni: “Uchaguzi Mkuu wa 2025 utuletee viongozi wanaojali na kuthamini haki na maslahi ya wafanyakazi, Sote tushiriki.”
#MeiMosi2025 #SingidaNaSamia #SamiaTheGameChanger
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+