Leo tarehe 30/04/2025, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepokea Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2025/2026.
Katika hotuba hii muhimu, Waziri wa Katiba na Sheria anawasilisha mipango, mafanikio, changamoto na makadirio ya bajeti kwa mwaka ujao wa fedha, kwa lengo la kuimarisha mfumo wa haki, utawala bora, na huduma za kisheria kwa wananchi wote.
#Bajeti2025 #WizaraYaKatibaNaSheria #BungeLive #Tanzania #UtawalaBora #HakiKwaWote
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+