Recent Posts

UCHAGUZI NI HAKI YA KIKATIBA, SIYO KWA MAELEKEZO YA MAKU

Mzee Shila Hailele Mponda, mkazi wa Jimbo la Tunduma, ameibua hoja nzito dhidi ya kampeni ya “No Reforms No Election” inayoendeshwa na kikundi cha Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. Mzee Shila ameeleza kuwa tayari wanasiasa wa CHADEMA kutoka jimbo lao, akiwemo aliyekuwa Mbunge Frank Mwakajoka na mwanasiasa kijana Boniface …

Soma zaidi »

TUILINDE AMANI KWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025

Ibrahim Hamisi Msaga, mkazi wa Manispaa ya Sumbawanga kata ya Katandala, ameipongeza serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo katika Mkoa wa Rukwa. Ametaja miradi hiyo kuwa ni pamoja na ujenzi wa Uwanja wa Ndege, Hospitali za kisasa, na shule zenye miundombinu bora …

Soma zaidi »