Recent Posts

MUHKTASARI WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 PROF KITILA MKUMBO

Muhtasari wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni nyaraka ya kimkakati inayolenga kuelekeza juhudi za maendeleo ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 25 ijayo, hadi mwaka 2050. Dira hii imeandaliwa kwa kuzingatia muktadha wa ndani na wa kimataifa, mabadiliko ya kijamii, kiuchumi, kisiasa, …

Soma zaidi »

TAZAMA, SHIRIKI NA CHUKUA HATUA.

Wajibu wetu binafsi katika kulinda mazingira. Mazingira ni uhai—tukilinda mito, kupanda miti, na kudhibiti taka, tunalinda maisha yetu na vizazi vijavyo. Usisubiri mtu mwingine aanze. Chukua hatua leo: punguza matumizi ya plastiki, elimisha jirani yako, na uwe balozi wa mazingira kwa vitendo. Tazama video hii, shiriki na wengine, na kuwa …

Soma zaidi »