Tanzania imebarikiwa kuwa na rasilimali nyingi za maji. Tuna Bahari ya Hindi, Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa na maziwa mengine madogo madogo. Ndani ya maji haya kuna utajiri mkubwa sana ambao mara nyingi hauonekani moja kwa moja, na mojawapo ni dagaa. Dagaa ni samaki wadogo lakini mchango wao ni …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+