The Vice President of the Republic of Zimbabwe, H.E. Retired Colonel Kembo Campbell Mohadi arrived in Tanzania on August 30, 2025, for a two-day working visit ending on August 31, 2025. The visit was made at the invitation of the Vice President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Philip Isdor Mpango.
Upon arrival at Julius Nyerere International Airport, Vice President Mohadi was warmly received by the Deputy Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Honorable Cosato Chumi, along with other senior government officials. During his visit, Vice President Mohadi will hold official talks with his host, H.E. Dr. Philip Isdor …
Soma zaidi »Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhwan Jakaya Kikwete (Mb), ametoa hotuba muhimu, Agosti 27, 2025, Dar es Salaamu JengO la Nsssf ,Wakati wa ziara ya Mheshimiwa Gembá Koichiro, Makamu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Japan, na ujumbe wake
Hotuba hiyo ililenga kuimarisha uhusiano wa muda mrefu kati ya nchi hizo mbili na kusisitiza umuhimu wa kuwekeza katika maendeleo ya rasilimali watu, hasa vijana. Mhe. Kikwete alieleza kuwa Tanzania imeendelea kuwa na ukuaji thabiti wa uchumi, lakini ili kufungua kikamilifu uwezo wake, ni lazima kuwa na kipaumbele katika maendeleo …
Soma zaidi »KAZI NA UTU: SAFARI YA TANZANIA MPYA CHINI YA RAIS SAMIA KAZI, UTU, NA KUSONGA MBELE
Hii siyo tu kauli ya kisiasa au ya mazoea, bali ni dira ya ujenzi wa taifa inayobeba falsafa ya maendeleo ya binadamu, matumizi sahihi ya rasilimali, na kulinda misingi ya haki, usawa na ustawi wa wote. 1. KAZI: Nguzo ya Uchumi na Maendeleo ya Taifa Kazi katika muktadha wa Tanzania …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Uhispania Mhe. Paloma Serra Robles, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025
HUZUNI KUBWA KWA TAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kilichopo Ubungo Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Agosti, 2025.
MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA KITUO CHA BIASHARA NA USAFIRISHAJI AFRIKA MASHARIKI (EACLC) UBUNGO
Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) Ubungo Dar es Salaam, leo tarehe 1 Agosti, 2025.
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA KWALA MKOA PWANI
MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA KWALA MKOA PWANI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizungumza na Wananchi wa Kwala Pwani, leo tarehe 31 Julai, 2025. #SGRTanzania #RaisSamia #MizigoKwaSGR #KwalaTerminal #MageuziYaUsafiri #TanzaniaInajengwa
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+