Demokrasia

WAFANYAKAZI WATOA NENO LA SHUKRANI KWA RAIS SAMIA

Baadhi ya Wafanyakazi nchini wametoa pongezi na shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuthibitisha tena kuwa anawajali watumishi wa umma. Katika kilele cha sherehe za Mei Mosi 2025 zilizofanyika Uwanja wa Bombadia mkoani Singida, Rais Samia alitangaza ongezeko la kima …

Soma zaidi »

πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ :πŸ”΄ MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA 2025 – SINGIDA | MGENI RASMI DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Karibu kwenye matangazo ya moja kwa moja ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) Kitaifa kwa mwaka 2025, yanayofanyika leo mkoani Singida. Mgeni rasmi katika sherehe hizi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo atahutubia taifa na kuzungumza na wafanyakazi kutoka …

Soma zaidi »

πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ :πŸ”΄ MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA 2025 – SINGIDA | MGENI RASMI DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Karibu kwenye matangazo ya moja kwa moja ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) Kitaifa kwa mwaka 2025, yanayofanyika leo mkoani Singida. Mgeni rasmi katika sherehe hizi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo atahutubia taifa na kuzungumza na wafanyakazi kutoka …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA APANDISHA MISHAHARA KWA ASILIMIA 35.1 – MEI MOSI 2025 SINGIDA

Katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) 2025 yaliyofanyika Kitaifa mkoani Singida, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuonesha dhamira ya dhati ya kuwatumikia wafanyakazi wa kada mbalimbali, wakiwemo walimu, ambao ni mhimili muhimu wa maendeleo ya taifa. Katika …

Soma zaidi »

πŸ”΄ RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATOA HOTUBA ILIYOBEBA TABASAMU KUBWA KWA WAFANYAKAZI | MEI MOSI 2025πŸ”₯

Katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) 2025, yaliyofanyika Kitaifa mkoani Singida, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa hotuba yenye msukumo, matumaini na dira mpya kwa wafanyakazi wa Tanzania. Katika hotuba hiyo, Mhe. Rais amepongeza mchango mkubwa wa wafanyakazi …

Soma zaidi »

πŸ”₯ RIDHIWANI KIKWETE AWASISIMUA MAELFU MEI MOSI 2025 SINGIDA | KAULI MOTO KWA WAFANYAKAZI πŸ”₯

Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu), ametoa hotuba yenye msukumo mkubwa katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika Kitaifa leo tarehe 1 Mei 2025 mkoani Singida. Katika hotuba hiyo, Mhe. Waziri amewapongeza wafanyakazi kwa mchango …

Soma zaidi »

πŸ”΄ HOTUBA YENYE MWELEKEO MPYA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA WAFANYAKAZI : MEI MOSI 2025, SINGIDA.

Karibu kwenye video hii ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anatoa hotuba ya kipekee yenye mwelekeo mpya kwa wafanyakazi katika maadhimisho ya Mei Mosi 2025, yaliyofanyika Singida. Katika hotuba hii, Rais Samia anazungumzia malengo ya maendeleo, haki na faraja za wafanyakazi, pamoja na mipango ya serikali ya kuimarisha mazingira ya kazi …

Soma zaidi »

πŸ”΄ πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ :MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA 2025 – SINGIDA | MGENI RASMI DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Karibu kwenye matangazo ya moja kwa moja ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) Kitaifa kwa mwaka 2025, yanayofanyika leo mkoani Singida. Mgeni rasmi katika sherehe hizi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo atahutubia taifa na kuzungumza na wafanyakazi kutoka …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa zawadi kwa wafanyakazi hodari katika sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi ambapo Kitaifa zimefanyika katika uwanja wa Bombadia Mkoani Singida tarehe 01 Mei, 2025

Soma zaidi »