MatokeoChanya
RAIS SAMIA AZUNGUMZA MARA BAADA YA KUAPISHA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
Leo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa hotuba muhimu mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Naibu Mawaziri wapya Ikulu. #RaisSamia #MawaziriWapya #Ikulu #HotubaYaRais #Tanzania
Soma zaidi »WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AMEKABIDHIWA RASMI OFISI NA WAZIRI MKUU MSTAAFU KASSIM MAJALIWA
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba alikabidhiwa rasmi ofisi na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa Novemba 17, 2025, Mlimwa, Dodoma. Hafla ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali ikiwa ni pamoja na Naibu Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Doto Biteko, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu.
Soma zaidi »RAIS SAMIA ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LEO.
Katika hotuba yake leo, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza majina ya mawaziri wapya na mabadiliko ya wizara. Video hii inakuletea majina yote na maana ya mabadiliko haya kwa taifa.
Soma zaidi »SERIKALI IMEAHIDI KULIFANYIA KAZI SWALA LA MABADILIKO YA KATIBA – RAIS. DKT. SAMIA
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kulipa kipaumbele suala la mabadiliko ya Katiba na kwamba hatua mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili kufikia mwafaka unaokubalika kwa Watanzania wote. #kilimobiashara #tanzania #wakulima #fursazakilimo #africa #kilimobora #katibampya #KATIBAYATANZANIA #tanzania #samiasuluhu
Soma zaidi »NAMWOMBA MWENYEZI MUNGU KUWA MWISHO WA AWAMU YA SITA USIPIMWE KWA VITU BALI KWA TABASAMU- RAIS SAMIA
“Namwomba Mwenyezi Mungu kuwa mwisho wa Awamu ya Sita usipimwe kwa vitu bali kwa tabasamu tutakaloliacha kwenye nyuso za Watanzania” — inatukumbusha maana ya uongozi unaogusa watu moja kwa moja. Ni wito wa kufanya kazi kwa moyo, kusikiliza wananchi na kuhakikisha maisha yao yanakuwa bora zaidi kwa vitendo vinavyoonekana ndani …
Soma zaidi »DKT. MWIGULU AAPISHWA IKULU CHAMWINO—RAIS SAMIA AELEZA SABABU ZA UTEUZI WAKE
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika hotuba yake, Rais Samia amesema uteuzi huo ulipitia ushindani mkubwa na Dkt. Mwigulu ndiye aliyebeba sifa nyingi zaidi kwenye vigezo vyote vilivyopimwa. Ameeleza kuwa majukumu ya Waziri Mkuu …
Soma zaidi »RAIS DKT. SAMIA KUHUTUBIA NA KUFUNGUA BUNGE LA 13, DODOMA – TANZANIA (NOV 14, 2025)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akihutubia na kufungua Bunge la 13 katika ukumbi wa Bunge, Dodoma – Novemba 14, 2025. Katika hotuba hii muhimu, Rais Samia anatoa mwelekeo wa Serikali kwa mwaka ujao, akigusa masuala ya uchumi, maendeleo ya kijamii, diplomasia, usimamizi wa …
Soma zaidi »RAIS DKT. SAMIA AKIMUAPISHA MWIGULU NCHEMBA KUWA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla inayofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 14 Novemba, 2025.
Soma zaidi »BREAKING NEWS: MWIGULU NCHEMBA ATANGAZWA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI 🇹🇿
Leo bungeni, Spika ametangaza rasmi uteuzi wa Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangazo hilo limepokelewa kwa shangwe na pongezi kutoka kwa wabunge na wananchi nchini kote. Tazama video hii kwa taarifa kamili kutoka Bungeni Dodoma na maoni ya viongozi mbalimbali. #Tanzania #MwiguluNchemba #WaziriMkuu …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+