RAIS SAMIA ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LEO.

Katika hotuba yake leo, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza majina ya mawaziri wapya na mabadiliko ya wizara. Video hii inakuletea majina yote na maana ya mabadiliko haya kwa taifa.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *