Maktaba ya Mwezi: January 2026

MWAMBASHA YAANGAZA SHINYANGA: SHULE YA SEKONDARI YA AMALI YAKAMILIKA NA KUFUNGUA MILANGO YA MAFANIKIO KWA VIJANA

Kukamilika kwa Shule ya Sekondari ya Amali ya Mwambasha iliyopo Mkoa wa Shinyanga DC ni hatua kubwa ya maendeleo inayotoa matumaini mapya kwa vijana wa kila rika na kuleta ustawi kwa jamii nzima. Mafanikio haya yana mchango mkubwa katika nyanja mbalimbali za kijamii na kiuchumi kama ifuatavyo: Kwanza, shule hii inatoa elimu …

Soma zaidi »

🔴#LIVE: RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MWAKA NA MABALOZI WANAOWAKILISHA NCHI ZAO TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Sherehe za Mwaka Mpya wa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) pamoja na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania, Wawakilishi wa Heshima na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, katika hafla inayofanyika Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, leo tarehe 15 Januari, …

Soma zaidi »

TADB YAENDELEA KUWANUFAISHA VIJANA KUPITIA MIKOPO NA UWEZESHAJI

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania @TADB imeendelea kuwa mdau muhimu katika kuwawezesha vijana kushiriki kikamilifu kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi na kuongeza thamani ya mazao. Kupitia mikopo na programu maalum za uwezeshaji, TADB inalenga kuwafanya vijana waone kilimo kama biashara yenye faida, si shughuli ya kujikimu tu. 1. Mikopo Rafiki …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amekaa na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Mcheche Masaju, Viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) uliofanyika katika Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tambukareli, Jijini Dodoma

Soma zaidi »