Video hii inaonesha mafanikio makubwa ya sekta ya kilimo yanayopatikana kupitia uwezeshwaji wa serikali kwa vijana na wananchi kwa ujumla, chini ya juhudi za TADB katika kufungua milango ya mitaji, maarifa na masoko. 🔹 Hizi ni fursa halisi, siyo hadithi 🔹 Kilimo ni biashara, siyo adhabu 🔹 Vijana wana nafasi …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+