Maktaba ya Kila Siku: January 8, 2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kama ishara ya uzinduzi wa Jengo la Taaluma na Utawala na Bweni la Wanafunzi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Taasisi ya Sayansi za Bahari, Buyu Zanziba

Soma zaidi »

🔴#LIVE: RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA MAJENGO YA TAASISI YA SAYANSI ZA BAHARI (UDSM – IMS) ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua jengo la Taaluma na Utawala, pamoja na Bweni la Wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi za Bahari (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, tarehe 08 Januari, 2026, Buyu, Zanzibar. #WaziriMkuu #Wamachinga #Bodaboda #Bajaji #HabariZaKitaifa #MaendeleoYaWananchi

Soma zaidi »

RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA MAJENGO YA TAASISI YA SAYANSI ZA BAHARI (UDSM – IMS) ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua jengo la Taaluma na Utawala, pamoja na Bweni la Wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi za Bahari (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, tarehe 08 Januari, 2026, Buyu, Zanzibar.

Soma zaidi »

🔴#LIVE: WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAMACHINGA, MADEREVA PIKIPIKI NA BAJAJI

Waziri Mkuu anazungumza moja kwa moja na wamachinga, madereva wa pikipiki na bajaji kuhusu masuala yanayowagusa katika shughuli zao za kila siku. Katika mazungumzo haya, anasikiliza changamoto zao, anatoa maelekezo, na kufafanua msimamo wa serikali katika kuboresha mazingira ya kazi na maisha ya wananchi wa kipato cha chini. Video hii …

Soma zaidi »