Karibu ufuatilie uzinduzi rasmi wa Vijana Platform, jukwaa maalum linalolenga kuimarisha ushiriki wa vijana katika maendeleo ya taifa kupitia taarifa, elimu, ubunifu, na fursa mbalimbali. Hafla hii ya kihistoria inafanyika tarehe 10 Januari katika Ukumbi wa JNICC, ikiwaleta pamoja viongozi wa serikali, wadau wa maendeleo, na vijana kutoka maeneo mbalimbali …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: January 10, 2026
TANI 9 ZA DAWA ZA KULEVYA ZAKAMATWA NCHINI MWEZI DISEMBA 2025
*Raia wa Kenya akamatwa akitumia biashara ya chai kuficha uuzaji wa dawa za kulevya. *Basi la King Masai lanaswa likisafirisha skanka. *Mirungi iliyofungwa kama majani ya mwarobaini yakamatwa. *Watumishi wa serikali wanaswa wakihusishwa na usafirishaji wa dawa za kulevya. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini imetekeleza …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+