Talik Azizi Mkawa, mkazi wa Arusha, ni mfano wa kuigwa baada ya kuamua kuachana na matumizi ya dawa za kulevya na kuanza ukurasa mpya wa maisha. Baada ya kupata nafuu, Talik amesema aliguswa na wito wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyewahimiza vijana waliokuwa waraibu wa dawa za kulevya kujikita …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: October 27, 2025
SERIKALI YA RAIS SAMIA YAWEKA MSINGI IMARA WA KUMPA KILA MTANZANIA HESHIMA NA FURSA
Utu wa mtu ni nguzo muhimu kwa kila binadamu, bila kujali anapitia hali gani katika maisha. Thamani ya utu haiwezi kupimwa kwa mali, cheo, au nafasi bali kwa jinsi tunavyomtendea binadamu mwenzetu. Serikali ya Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeonyesha kwa vitendo kwamba utu ni kipaumbele …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+