SIKU YA USAFI DUNIANI

NEMC katika kuadhimisha Siku ya Usafi Duniani tarehe 20 Septemba, 2025 kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa mazingira wakiwemo DEPO, imefanya usafi Hospitali ya Mwananyamala na maeneo mengine nchi nzima ambapo Kanda 13 zimetoa huduma ya Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *