SIKU YA USAFI DUNIANI

NEMC katika kuadhimisha Siku ya Usafi Duniani tarehe 20 Septemba, 2025 kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa mazingira wakiwemo DEPO, imefanya usafi Hospitali ya Mwananyamala na maeneo mengine nchi nzima ambapo Kanda 13 zimetoa huduma ya Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira.

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA AZUNGUMZA MARA BAADA YA KUAPISHA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI

Leo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa hotuba muhimu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *