NEMC Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wameungana na watumishi wa taasisi zingine katika maadhimisho ya siku ya usafi duniani kufanya usafi katika soko la Soweto,zoezi liliratibiwa na Hlmashauri ya Jiji la Mbeya kupitia kitengo chake cha usimamizi wa takangumu

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA AZUNGUMZA MARA BAADA YA KUAPISHA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI

Leo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa hotuba muhimu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *