NEMC Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wameungana na watumishi wa taasisi zingine katika maadhimisho ya siku ya usafi duniani kufanya usafi katika soko la Soweto,zoezi liliratibiwa na Hlmashauri ya Jiji la Mbeya kupitia kitengo chake cha usimamizi wa takangumu
MatokeoChanya
September 20, 2025
CCM, Matokeo ChanyA+, MAZINGIRA, NEMC, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+
33 Imeonekana