Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 (Dira 2050)
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: July 17, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha nakala za vitabu vya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 mara baada ya uzinduzi katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 17 Julai, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 17 Julai, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Mhe. Freeman Mbowe mara baada ya kuzindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 17 Julai, 2025.
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU WAKATI WA UZINDUZI WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 – DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza hafla ya kihistoria ya uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 jijini Dodoma. Kupitia hotuba yake ya kina na yenye mwelekeo, Mhe. Rais ameeleza dhamira ya Serikali kuhakikisha Tanzania inafikia maendeleo jumuishi, yenye ushindani wa kiuchumi, …
Soma zaidi »🔴 LIVE: UZINDUZI WA DIRA MPYA YA MAENDELEO YA TAIFA NA MHE, RAIS DKT. SAMIA | JULAI 17, 2025 DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza hafla ya uzinduzi rasmi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo baada ya 2025 leo tarehe 17 Julai, 2025, jijini Dodoma. Tazama tukio hili la kihistoria linaloashiria mwelekeo mpya wa maendeleo ya taifa letu kwa miongo ijayo. Katika …
Soma zaidi »WIMBO MAALUM WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050
#DIRA2050
Soma zaidi »MUHKTASARI WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 PROF KITILA MKUMBO
Muhtasari wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni nyaraka ya kimkakati inayolenga kuelekeza juhudi za maendeleo ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 25 ijayo, hadi mwaka 2050. Dira hii imeandaliwa kwa kuzingatia muktadha wa ndani na wa kimataifa, mabadiliko ya kijamii, kiuchumi, kisiasa, …
Soma zaidi »“NILIKATA TAMAA LAKINI MAMA YANGU ALINIAMBIA BADO KUNA TUMAINI LEO NINA KAZI YANGU”KIJANA MJASIAMALI
“Nilikata Tamaa, Lakini Mama Yangu Aliniambia Bado Kuna Tumaini Leo Nina Kazi Yangu” Kijana Mjasiriamali Hii ni kauli yenye uzito mkubwa inayobeba simulizi ya maumivu, matumaini na ushindi. Ni sauti ya kijana aliyewahi kuona giza mbele, lakini akashika mkono wa mama yake, akaamini tena, akaamka na leo anasimama akiwa na …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+