DIRA 2050

🔴 LIVE: UZINDUZI WA DIRA MPYA YA MAENDELEO YA TAIFA NA MHE, RAIS DKT. SAMIA | JULAI 17, 2025 DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza hafla ya uzinduzi rasmi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo baada ya 2025 leo tarehe 17 Julai, 2025, jijini Dodoma. Tazama tukio hili la kihistoria linaloashiria mwelekeo mpya wa maendeleo ya taifa letu kwa miongo ijayo. Katika …

Soma zaidi »

MUHKTASARI WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 PROF KITILA MKUMBO

Muhtasari wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni nyaraka ya kimkakati inayolenga kuelekeza juhudi za maendeleo ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 25 ijayo, hadi mwaka 2050. Dira hii imeandaliwa kwa kuzingatia muktadha wa ndani na wa kimataifa, mabadiliko ya kijamii, kiuchumi, kisiasa, …

Soma zaidi »