Recent Posts

ENG. CYPRIAN LUHEMEJA AFURAHISHWA NA HAMASA YA MAZINGIRA SABASABA 2025

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Eng. Cyprian Luhemeja, ameonesha kufurahishwa na namna taasisi mbalimbali zimeipa kipaumbele ajenda ya mazingira katika Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba. Akiwa katika ziara ya kutembelea mabanda, Eng. Luhemeja amesema kuwa karibu kila banda alilopita limeweka mbele elimu, suluhisho …

Soma zaidi »

NCHI YETU NI TAJIRI SANA LAKINI TUSIPOKUWA MAKINI HUU UTAJIRI TUNAUPOTEZA..

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja, ameonya juu ya hatari ya kupoteza rasilimali za taifa endapo juhudi madhubuti hazitachukuliwa kulinda mazingira. Akizungumza katika Maonyesho ya Sabasaba 2025, Eng. Luhemeja amesema Tanzania imebarikiwa kuwa na ardhi yenye rutuba, mito, maziwa, misitu, na viumbe hai wa aina …

Soma zaidi »

ENG. LUHEMEJA AZINDUA SIKU YA MAZINGIRA SABASABA 2025

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja, ametembelea Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba (DITF) yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Akiwa katika banda la Mazingira, Eng. Luhemeja amezindua rasmi Siku ya Mazingira ndani ya maonyesho hayo na kutoa wito …

Soma zaidi »

MAONESHO YA SABASABA: BANDA KATIBA NA SHERIA LINAENDELEA KUTOA HUDUMA.

Katika maonesho ya 49 ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba, wananchi wanaendelea kupata elimu na msaada wa kisheria BURE kutoka kwa wataalamu mbalimbali wa sheria. Hii ni sehemu ya kampeni ya serikali inayolenga kuhakikisha kila Mtanzania anafahamu haki zake na kupata msaada wa kisheria pale inapohitajika. 🎯 Huduma zinazotolewa: ✅ …

Soma zaidi »