Tazama tukio maalum la kuadhimisha Siku ya Mazingira ndani ya maonesho ya 48 ya Sabasaba, likiwa limebeba kaulimbiu ya kuhamasisha utunzaji wa mazingira kwa vitendo. Katika video hii utashuhudia: ✅ Ushiriki wa taasisi mbalimbali za mazingira ✅ Utoaji wa elimu kwa wananchi juu ya mabadiliko ya tabianchi, usafi wa mazingira …
Soma zaidi »Recent Posts
KONGAMANO LA KITAIFA LA KUJENGEWA UELEWA JUU YA ATHARI ZA SAUTI ZILIZOZIDI KATIKA NYUMBA ZA IBADA
Ni kongamano lililoandaliwa na Jumuiya ya Maridhiano ya Amani Tanzania kwa Kushirikiana na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).
Soma zaidi »LIVE: MAONESHO YA SABASABA, SIKU YA MAZINGIRA: 6 JULAI 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Jeshi la  Umoja wa Visiwa vya Comoro alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bergamo Moroni leo tarehe 06 Julai 2025
Rais Dkt. Samia yupo katika Umoja wa Visiwa vya Comoro kwa Ziara ya kikazi ya siku moja ambapo pia amealikwa kama Mgeni Rasmi na Rais wa nchi hiyo Mhe. Azali Assoumani kuhudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Malouzini Omnisport mjini …
Soma zaidi »LIVE : MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA KANISA LA ARISE & SHINE KAWE DAR ES SALAAM.
Karibu kutazama mubashara (LIVE) hafla ya kihistoria ya Ufunguzi wa Kanisa la Arise & Shine katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe – Dar es Salaam, ikihudhuriwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Katika tukio hili maalum, Mhe. Rais anashiriki kwa heshima kuu kwenye …
Soma zaidi »LIVE : MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA KANISA LA ARISE & SHINE KAWE DAR ES SALAAM.
Karibu kutazama mubashara (LIVE) hafla ya kihistoria ya Ufunguzi wa Kanisa la Arise & Shine katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe – Dar es Salaam, ikihudhuriwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Katika tukio hili maalum, Mhe. Rais anashiriki kwa heshima kuu kwenye …
Soma zaidi »MALEZI BORA NI SULUHISHO LA KUDUMU DHIDI YA URAIBU KWA WATOTO – MOHAMED JUMAhttps://youtu.be/1xzUwyOshro
Mohamed Juma, Meneja wa nyumba ya Mamas and Papas House iliyopo Mkuranga, Dar es Salaam, amesema kuwa moja ya chanzo kikuu cha uraibu katika jamii ni ukosefu wa malezi bora kwa watoto kuanzia wakiwa wadogo. Nyumba hiyo imejikita katika kutoa elimu kuhusu malezi na afya ya akili kwa watu walioathirika …
Soma zaidi »LIVE: 🌿 TANZANIA GREEN SUMMIT 2025 | Kuijenga Tanzania Kijani kwa Maendeleo Endelevu
VIJANA WAIPONGEZA SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
Anna Mathayo Phanga kutoka taasisi ya Blue Cross Society of Tanzania ya jijini Arusha amesema serikali ya awamu ya sita imefanya kazi kubwa ya kuokoa maisha ya Watanzania kwa kuwekeza kwa kiasi kikubwa katika kinga na tiba dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya. Ameeleza kuwa hatua hizi zimeleta matumaini …
Soma zaidi »VIJANA WAIPONGEZA SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
Anna Mathayo Phanga kutoka taasisi ya Blue Cross Society of Tanzania ya jijini Arusha amesema serikali ya awamu ya sita imefanya kazi kubwa ya kuokoa maisha ya Watanzania kwa kuwekeza kwa kiasi kikubwa katika kinga na tiba dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya. Ameeleza kuwa hatua hizi zimeleta matumaini mapya kwa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+




