ENG. CYPRIAN LUHEMEJA AFURAHISHWA NA HAMASA YA MAZINGIRA SABASABA 2025

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Eng. Cyprian Luhemeja, ameonesha kufurahishwa na namna taasisi mbalimbali zimeipa kipaumbele ajenda ya mazingira katika Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba. Akiwa katika ziara ya kutembelea mabanda, Eng. Luhemeja amesema kuwa karibu kila banda alilopita limeweka mbele elimu, suluhisho na jitihada zinazohusu utunzaji wa mazingira – jambo linaloonyesha mwamko na mshikamano wa kitaifa katika kulinda mazingira yetu.

Tazama video hii ujionee mwenyewe jinsi maonesho haya yamekuwa jukwaa la elimu, ubunifu na hatua madhubuti zinazochukuliwa kwa pamoja kuijenga Tanzania safi, salama na endelevu kimazingira.

#Sabasaba2025 #EngLuhemeja #MazingiraNiUhai #OfisiYaMakamuWaRais #MazigiraKwanza #DITF2025

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *