Katika maonesho ya 49 ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba, wananchi wanaendelea kupata elimu na msaada wa kisheria BURE kutoka kwa wataalamu mbalimbali wa sheria. Hii ni sehemu ya kampeni ya serikali inayolenga kuhakikisha kila Mtanzania anafahamu haki zake na kupata msaada wa kisheria pale inapohitajika.
๐ฏ Huduma zinazotolewa:
โ Ushauri wa kisheria
โ Elimu juu ya haki za binadamu
โ Jinsi ya kufungua mashauri
โ Kusaidiwa kutatua migogoro ya ndoa, ardhi, ajira n.k.
โ Elimu kuhusu sheria mbalimbali nchini
๐ค Fursa hii ni ya kipekee kwa wananchi kujifunza, kuuliza maswali, na kupata msaada wa moja kwa moja kutoka kwa wanasheria waandamizi na maofisa wa serikali.
๐ข Tembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria โ Hakikisha hupitwi!
๐ Share video hii ili wengine pia wajifunze na kufaidika!
#MaoneshoYaSabasaba #MsaadaWaKisheria #ElimuYaSheria #MamaSamiaLegalAid #HakiKwaWote #WizaraYaKatibaNaSheria #Tanzania
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+