Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa, amezindua rasmi Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia jijini Dar es Salaam. Kampeni hii inalenga kutoa elimu na huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi wote, hususan makundi yenye uhitaji kama wanawake, vijana, wazee, na watu wenye …
Soma zaidi »Kaulimbiu ya Maadhimisho hayo kimataifa ni ‘Kudai Haki Zetu, Kulinda Ngozi Zetu, Hifadhi Maisha Yetu’.
Aidha, Kitaifa, kaulimbiu ya Maadhimisho hayo ni: “Ushiriki katika Uchaguzi ni Haki Yetu: Kuchagua na Kuchaguliwa, Linda Haki za Watu Wenye Ualbino.”
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amezitaka Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kushirikiana kikamilifu katika kukamilisha mradi wa ujenzi wa shule 56 za kuendeleza vipaji vya michezo.
DKT. BITEKO AWATAKA WAZAZI KUTUNZA FAMILIA ZAO.
“ Mtoto ni zao la matokeo ya wazazi wawili, Naomba wazazi tuthamini kuwa mtoto ni mtu muhimu na anahitaji kulelewa, tukumbuke kuwa tumefika hapa kwa kuwa wako wazazi walivumiliana na wakatulea katika familia na sisi tusiwe watu wa kutelekeza familia zetu, ni wajibu wa kila mmoja kujua kuwa familia ni …
Soma zaidi »WAZIRI DKT. ASHANTU KIJAJI AKIWASILISHA BAJETI YA MIFUGO NA UVUVI 2025/ 2026.
#bungelive #chadema #ijuesheria #katibanasheria #section4wakilitv #mslac #live #meimosi2025 #mifugo #UVUVI.
Soma zaidi »WAFANYAKAZI WATOA NENO LA SHUKRANI KWA RAIS SAMIA
Baadhi ya Wafanyakazi nchini wametoa pongezi na shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuthibitisha tena kuwa anawajali watumishi wa umma. Katika kilele cha sherehe za Mei Mosi 2025 zilizofanyika Uwanja wa Bombadia mkoani Singida, Rais Samia alitangaza ongezeko la kima …
Soma zaidi »🔴 HOTUBA YENYE MWELEKEO MPYA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA WAFANYAKAZI : MEI MOSI 2025, SINGIDA.
Karibu kwenye video hii ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anatoa hotuba ya kipekee yenye mwelekeo mpya kwa wafanyakazi katika maadhimisho ya Mei Mosi 2025, yaliyofanyika Singida. Katika hotuba hii, Rais Samia anazungumzia malengo ya maendeleo, haki na faraja za wafanyakazi, pamoja na mipango ya serikali ya kuimarisha mazingira ya kazi …
Soma zaidi »🔴 🅻🅸🆅🅴 :MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA 2025 – SINGIDA | MGENI RASMI DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Karibu kwenye matangazo ya moja kwa moja ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) Kitaifa kwa mwaka 2025, yanayofanyika leo mkoani Singida. Mgeni rasmi katika sherehe hizi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo atahutubia taifa na kuzungumza na wafanyakazi kutoka …
Soma zaidi »RAIS SAMIA AANDIKA HISTORIA MPYA YA MASLAHI YA WAFANYAKAZI
Ametangaza ongezeko la asilimia 35.1 kwa mshahara wa chini wa watumishi wa umma, hatua inayodhihirisha dhamira ya kweli ya Serikali kuboresha maisha ya wafanyakazi. #katibanasheria #MSLAC #SSH #SisiniTanzania
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+