HOTUBA NZITO YA WAZIRI WA VIJANA MHE. JOEL NANAUKA KWA MAAFISA MAENDELEO YA VIJANA

Hotuba nzito na yenye maelekezo ya kina kutoka kwa Waziri wa Maendeleo ya Vijana – Mhe. Joel Nanauka, akizungumza na Maafisa Maendeleo ya Vijana kuhusu wajibu wao katika kusimamia, kuhamasisha na kutekeleza ajenda ya maendeleo ya vijana nchini.

Hotuba hii inasisitiza uwajibikaji, uzalendo, ubunifu na mshikamano katika kuhakikisha vijana wanapata fursa, wanawezeshwa kiuchumi na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa.

#WaziriWaMaendeleoYaVijana #JoelNanauka #MaendeleoYaVijana #VijanaNiNguvuYaTaifa #AjendaYaVijana #VijanaNaMaendeleo #SerikaliInawawezeshaVijana #UongoziWaMaendeleo #MaafisaMaendeleoYaVijana #TanzaniaYaVijana #VijanaKazini #KizaziChaMabadiliko #MaonoYaVijana

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *