Matokeo ChanyA+

MHE RAIS. DKT, SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MRADI MKUBWA WA MAJI BUTIMBA

tarehe 20 Juni, 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefungua rasmi Mradi wa Maji wa Butimba jijini Mwanza na kuzungumza moja kwa moja na wananchi waliokusanyika kwa shangwe na matumaini makubwa. Mradi huu wa kimkakati unalenga kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI BAADA YA KUFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO–BUSISI)

Mwanza, 19 Juni 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezungumza na wananchi katika viwanja vya Chuo cha Ufundi Kalwande, jijini Mwanza, mara baada ya kuzindua rasmi Daraja la JP Magufuli (Kigongo–Busisi) lenye urefu wa kilomita 3.0. Katika hotuba yake, Rais Samia amepongeza …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI – HISTORIA YANDIKWA UPYA ZIWA VICTORIA

Tarehe 19 Juni 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alifungua rasmi Daraja la JP Magufuli (Kigongo–Busisi) lenye urefu wa kilomita 3.0, pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 1.66 katika mkoa wa Mwanza. Hii ni hatua ya kihistoria na ya kimkakati katika …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA ASISITIZA MAENDELEO SHIRIKISHI BUSIGA – ASHIRIKISHA WANANCHI KATIKA UTEKELEZAJI WA KATIBA

Katika hotuba yake kwa Wananchi wa Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu tarehe 19 Juni 2025, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitekeleza moja ya wajibu wake wa kikatiba chini ya Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI – HISTORIA YANDIKWA UPYA ZIWA VICTORIA

Tarehe 19 Juni 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alifungua rasmi Daraja la JP Magufuli (Kigongo–Busisi) lenye urefu wa kilomita 3.0, pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 1.66 katika mkoa wa Mwanza. Hii ni hatua ya kihistoria na ya kimkakati katika …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA ASISITIZA MAENDELEO SHIRIKISHI BUSIGA – ASHIRIKISHA WANANCHI KATIKA UTEKELEZAJI WA KATIBA

Katika hotuba yake kwa Wananchi wa Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu tarehe 19 Juni 2025, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitekeleza moja ya wajibu wake wa kikatiba chini ya Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka …

Soma zaidi »

MAOMBI NA NDOTO ZA MAGUFULI ZATIMIA

Mkoani Mwanza – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo anazindua rasmi Daraja la Kigongo–Busisi, mradi mkubwa uliokuwa ndoto ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Daraja hilo, ambalo ujenzi wake ulianza rasmi chini ya utawala wa Magufuli, limekamilika kikamilifu chini ya uongozi wa Rais …

Soma zaidi »