DIPLOMASIA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Desemba 14, 2024 ametembelea kiwanda cha kutengeneza dawa za binadamu cha CURE AFYA kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam

Akizungumza baada ya kushuhudia uzalishaji wa dawa kwenye kiwanda hicho chenye thamani ya takribani shilingi bilioni 50, Waziri Mkuu amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji ili kuhakikisha wawekezaji wanapata faida kutokana na shughuli zao. “Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kwenye …

Soma zaidi »

DKT NCHEMBA AIPA KONGOLE SADC KUTAKA KUANZISHA MFUKO WAKE WA MAENDELEO YA KIUCHUMI

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amemwakilisha Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), kushiriki Mkutano wa Dharura wa Kamati ya Mawaziri wa Fedha na Uwekezaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika kwa njia ya mtandao wa Zoom, akiwa katika Ofisi …

Soma zaidi »

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema itaendeleakushirikiana na Nchi Wanachama wa Jumuiya ya MaendeleoKusini mwa Afrika (SADC) katika kukabiliana na athari zamabadiliko ya tabianchi katika ukanda huo

Hayo yameelezwa Desemba 11, 2024 Jijini Dodoma na NaibuKatibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi Christina Mndeme wakati wa mazungumzo baina yake naUjumbe wa Wizara ya Maliasili na Mabadiliko ya Tabianchiwa Serikali ya Jamhuri ya Malawi ulioongozwa naMkurugenzi wa Mazingira wa Wizara hiyo, Bi. TawongaMbale-Luka. Mndeme amesema mataifa …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA ANASHIRIKI KWENYE MJADALA WA WAKUU WA NCHI AFRIKA MASHARIKI

Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameongoza Mkutano wa 24 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika jijini Arusha. Mkutano huu umewaleta pamoja viongozi wa nchi wanachama kujadili masuala muhimu yanayoathiri kanda na mustakabali wa jumuiya. Mantiki ya Mjadala: Ufadhili Endelevu wa Jumuiya: Wakuu …

Soma zaidi »

MIAKA 63 YA UHURU WETU MAANDAMANO MAKUBWA YAKIFUATIWA NA KULIOMBEA TAIFA MKOANI ARUSHA

Katika kuadhimisha miaka 63 tangu Tanganyika ipate uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961, mkoa wa Arusha umeandika historia kwa kushuhudia maandamano makubwa na maombi maalum ya kuliombea taifa. Tukio hili, lililovuta hisia za wengi, limeleta pamoja maelfu ya wananchi kutoka makundi mbalimbali ya kijamii, wakiwemo viongozi wa dini, serikali, wanaharakati, …

Soma zaidi »

Manufaa ya Mikutano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa Maendeleo ya Kikanda

Mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaleta manufaa kadhaa kwa wanachama wa jumuiya hiyo pamoja na wananchi wa ukanda huu. Manufaa hayo ni pamoja na: Kuimarisha Ushirikiano wa Kiuchumi Kujadili mikakati ya kuongeza biashara ya kikanda kupitia Soko la Pamoja (Common Market). Kuweka sera zinazorahisisha biashara za mpakani, kama …

Soma zaidi »

UGANDAN AMBASSADOR FRED MWESIGE PROMISES COOPERATION IN ENVIRONMENTAL PROTECTION AND FOOD SAFETY

He explained that in promoting food security like Tanzania, Uganda has a system to encourage young people to cultivate commercial and food crops known as PDM which provides one hundred million and four hectares of land to each district for growing food and fruits.

Soma zaidi »

KUPITIA BBT YA TANZANIA, UGANDA WAMEANZISHA MFUMO WA HEKARI NNE (THE 4 ACRE MODEL) KWA KAYA.

Kupitia mfumo wa hekari 4 kwa kaya, Uganda inafanya jitihada za kutafuta masoko kwa ajili ya kuwapatia wananchi kutumia ardhi kwa uzaishaji ili wapate fedha ambazo watazitumia kufunga umeme, kununua gesi na kuachana na matumizi ya nishati chafu ya kupikia.

Soma zaidi »

Tumefurahi Sana Kuja Tanzania Nchi Ya Amani, Hii Ngoma Haiwezi Kupigwa Mahali Ambapo Hakuna Amani.

AMAGHABA NI NGOMA YA ASILI YA BURUNDI INAPIGWA KWENYE SHEREHE ZA AMANI PEKEE TANZANIA NI NCHI YA AMANI NDIO MAANA TUPO HAPA Tumefurahi sana kuja Tanzania nchi ya amani, hii ngoma haiwezi kupigwa mahali ambapo hakuna amani.

Soma zaidi »

WIZARA YA FEDHA ITAWEKA AJENDA YA RAIS DKT SAMIA YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA KUWA KIPAUMBELE

Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ameeleza kuwa ni gharama kubwa sana kukabiliana na uharibifu wa Mazingira, lakini Mataifa ya Afrika Mashariki Yanapochukua hatua za Mapema itaepusha gharama za baadae za kurejesha Mazingira. Ni lazima Nchi zote za Afrika Mashariki zikaiga kwa Tanzania sasa zikahamasisha matumizi ya nishati safi ya …

Soma zaidi »