Kupitia mfumo wa hekari 4 kwa kaya, Uganda inafanya jitihada za kutafuta masoko kwa ajili ya kuwapatia wananchi kutumia ardhi kwa uzaishaji ili wapate fedha ambazo watazitumia kufunga umeme, kununua gesi na kuachana na matumizi ya nishati chafu ya kupikia.
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+