KUPITIA BBT YA TANZANIA, UGANDA WAMEANZISHA MFUMO WA HEKARI NNE (THE 4 ACRE MODEL) KWA KAYA.

Kupitia mfumo wa hekari 4 kwa kaya, Uganda inafanya jitihada za kutafuta masoko kwa ajili ya kuwapatia wananchi kutumia ardhi kwa uzaishaji ili wapate fedha ambazo watazitumia kufunga umeme, kununua gesi na kuachana na matumizi ya nishati chafu ya kupikia.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *