DIPLOMASIA

“KULINDA MAZINGIRA NI MIONGONI MWA NEEMA NYINGI AMBAZO MTUME MOHAMED, AMEAGIZA KULINDA

Nchi inaposhindwa kulinda Neema ya mazingira kwa ajili yetu na kizaji kijacho Mungu anaweza kuondosha Neema nyingine nyingi kwenye nchi. Ameahidi kumuunga mkono na yupo tayari kupokea maagizo yoyoyte ya Rais Mhe Samia Suluhu Hassan ya kulinda Mazingira.

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AONGOZA SAFARI YA MABADILIKO EAC: KUJADILI MUSTAKABALI WA AFRIKA MASHARIKI”

Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa mwenyeji wa Mkutano wa 24 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ameonyesha uongozi wa dhati na dira mpya ya mabadiliko katika kanda. Tukio hili la kihistoria lililofanyika jijini Arusha limekusanya viongozi wa nchi wanachama wa EAC kwa ajili ya …

Soma zaidi »

ARUSHA 6Washiriki Wajumuika Arusha Kusherehekea Mafanikio ya Ushirikiano wa Kikanda

Mkutano huu pia umehudhuriwa na wadau wakuu wakiwemo wawakilishi wa Umoja wa Afrika (AU), Umoja wa Mataifa (UN), jumuiya nyingine za kikanda, mabalozi, viongozi wa sekta binafsi, mashirika ya kiraia, na wasomi. Washiriki wamejadili hatua zilizopigwa katika nyanja mbalimbali kama vile biashara ya kikanda, usafirishaji, na usalama wa kikanda, huku …

Soma zaidi »

Kaulimbiu ya Miaka 25 ya EAC: Kutafakari na Kujenga Mustakabali wa Baadaye

Kaulimbiu ya maadhimisho, “Miaka 25 ya Ushirikiano wa Kikanda: Safari ya Kutafakari na Matarajio ya Baadaye,” inatoa mwelekeo wa majadiliano ya jinsi EAC inavyoweza kuimarisha mshikamano wa kiuchumi, kijamii, na kisiasa miongoni mwa nchi wanachama, ambazo ni Burundi, Kenya, Rwanda, Sudan Kusini, Tanzania, Uganda, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Galeão Air Force Base Jijini Rio de Janeiro nchini Brazil

Haki Ngowi@Hakingowi Rio de Janeiro Mheshimiwa rais Samia mewasili huko kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa Kundi la G20. Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Mhe. Luiz Inácio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)

Mheshimiwa rais anaelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20. Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Mhe. Luiz Ińacio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga kuimarisha ushirikiano …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU AONGOZA MAZIKO YA MAREHEMU LAWRENCE MAFURU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 15, 2024 ameungana na ndugu, jamaa, marafiki na viongozi wengine wa Serikali katika mazishi ya aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Tume ya Mipango, Marehemu Lawrence Nyasebwa Mafuru. Maziko hayo yamefanyika katika Makaburi ya Kondo, Ununio jijini Dar es Salaam. Marehemu Mafuru alifariki Novemba 09, 2024 …

Soma zaidi »

Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa mstari wa mbele katika kuhimiza ushirikishaji wa jamii katika mapambano dhidi ya njaa nchini Tanzania. Ameweka msisitizo kwenye kuboresha usalama wa chakula kupitia mipango mbalimbali inayolenga kuongeza uzalishaji wa kilimo na kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa wananchi wote

Katika mkutano wa G20 unaotarajiwa kufanyika Rio de Janeiro, Brazil, tarehe 18 hadi 19 Novemba 2024, Rais Samia amealikwa kushiriki kama mgeni mwalikwa. Ushiriki wake katika mkutano huu ni fursa muhimu kwa Tanzania kuwasilisha ajenda zake kuhusu usalama wa chakula na ushirikishaji wa jamii katika mapambano dhidi ya njaa. Kupitia …

Soma zaidi »

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Marehemu Lawrence Mafuru kwenye viwanja vya Karimjee

Tukio la kuaga mwili wa Marehemu Lawrence Mafuru liliongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Soma zaidi »