Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua Mkutano wa Mawaziri wa Nishati na Fedha barani Afrika ambao umehusisha Wadau wa Maendeleo wakiongozwa na Rais wa Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo Afrika. Mkutano huo ni sehemu ya Mkutano wa #Mission300
Soma zaidi »PICHA MBALIMBALI KATIKA MAONESHO YANAYOENDA SAMBAMBA NA MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA – (MISSION 300)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina
Walikutana ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Januari, 2025
Soma zaidi »TAARIFA KWA UMMA
SAFARI YA MAENDELEO YA SEKTA YA NISHATI TANZANIA, KUTOKA 1963 HADI 2025
Tangu uhuru mwaka 1963, sekta ya nishati imekuwa mojawapo ya vichocheo vikubwa vya maendeleo ya Tanzania. Awali, nchi ilitegemea kuni, mkaa, na mafuta ya taa kama vyanzo vikuu vya nishati. Hata hivyo, hatua muhimu zimechukuliwa kufanikisha maendeleo ya sekta hii: 1. 1963-1980,Serikali ilianza uwekezaji katika miradi ya umeme wa maji, …
Soma zaidi »“KIGOMA – TUMETUNZA FRIJI ZETU KWENYE STORE, NA TUNAKULA VYAKULA FRESH KABISA, HII NI FAHARI KWETU”
Mbali na uhifadhi wa kisasa, Kigoma imeendelea kuwa kitovu cha biashara zinazochangia uchumi wa eneo hili. Soko la vyakula safi limeimarika, likihusisha biashara za ndani na zile za nje ya mkoa. Wajasiriamali wengi wanazidi kuwekeza katika sekta hii, huku wakifurahia ongezeko la wateja wanaothamini bidhaa zenye ubora wa hali ya …
Soma zaidi »SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI YAPAA, UCHUMI WA TANZANIA WAZIDI KUNUFAIKA!
Sekta ya mifugo na uvuvi ni nguzo muhimu ya uchumi wa Tanzania. Idadi ya mifugo imeongezeka, ikiwemo ng’ombe milioni 35, huku ujenzi wa machinjio na viwanda vya maziwa ukiongeza thamani. Uvuvi umeimarika kupitia mabwawa na uvuvi wa kisasa, na serikali imewekeza kwenye bandari na masoko ya samaki. Hatua hizi zimeongeza …
Soma zaidi »Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeingia makubaliano na Shirika la Ndege la Uturuki (Turkish Airlines) ili kutangaza utalii wa Tanzania duniani kupitia safari za ndege za shirika hilo
Makubaliano hayo yalifanyika Januari 8, 2024, jijini Dar es Salaam, yakiwa na lengo la kuongeza idadi ya watalii na wawekezaji katika sekta ya utalii nchini. Mkurugenzi Mkuu wa TTB, Ephraim Mafuru, amesema wamechagua shirika hilo la ndege kutokana na kuwa na ndege zaidi ya 490 na kufanya safari zake katika …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+