DIPLOMASIA

TALGWU SINGIDA YAPONGEZA UAMUZI WA RAIS SAMIA KUFANIKISHA MEI MOSI KITAIFA

Katibu wa mkoa wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) mkoa wa Singida, Deogratius Rugambwa, amemshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kufanyika kitaifa katika mkoa wa Singida. Ameeleza kuwa hatua hiyo ni ya kihistoria na inaongeza heshima …

Soma zaidi »

SINGIDA YAMKARIBISHA KWA SHANGWE RAIS SAMIA KATIKA KILELE CHA MEI MOSI 2025

Wameeleza furaha yao juu ya ujio wa Mhe Rais Samia kwenye maadhimisho hayo ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Singida. Kauli mbiu ya mwaka huu ni: “Uchaguzi Mkuu wa 2025 utuletee viongozi wanaojali na kuthamini haki na maslahi ya wafanyakazi, Sote tushiriki.” #MeiMosi2025 #SingidaNaSamia #SamiaTheGameChanger

Soma zaidi »

MWALIMU. J K NYERERE, HOJA JUU YA TANZANIA NA MUUNGANO

Katika historia ya Tanzania, jina la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere linang’aa kwa upekee kama kiongozi aliyesimama kidete kuasisi na kulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kupitia fikra zake makini na maono yake ya kina kuhusu mustakabali wa Afrika, Mwalimu Nyerere alijenga hoja nzito juu ya umuhimu wa Muungano kama njia …

Soma zaidi »

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imefeka Mashamba ya bangi mkoani Shinyanga

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), imefanya operesheni maalum katika mikoa mbalimbali, ikiwemo Shinyanga, na kufanikisha ukamataji wa jumla ya kilo 54,506.553 za dawa za kulevya. Katika operesheni hiyo, …

Soma zaidi »