MWALIMU NYERERE

Happy Nyerere Day, Watanzania!

Leo tunamkumbuka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — mtu aliyeweka msingi wa umoja, utu na maendeleo kwa taifa letu. Fikra zake bado zinatupa dira ya kujenga Tanzania yenye haki, usawa na heshima kwa kila mmoja. Ni siku ya kutafakari, kujifunza, na kuendeleza maono yake kwa vitendo — katika …

Soma zaidi »

MWALIMU. J K NYERERE, HOJA JUU YA TANZANIA NA MUUNGANO

Katika historia ya Tanzania, jina la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere linang’aa kwa upekee kama kiongozi aliyesimama kidete kuasisi na kulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kupitia fikra zake makini na maono yake ya kina kuhusu mustakabali wa Afrika, Mwalimu Nyerere alijenga hoja nzito juu ya umuhimu wa Muungano kama njia …

Soma zaidi »