DIPLOMASIA

ADA TADEA KUSIMAMISHA WAGOMBEA UDIWANI NA UBUNGE, NAFASI YA RAIS KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Mkoa wa Songea, Alli Sadiki Mapunda, ametangaza kuwa chama chao kipo tayari kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amesema kuwa ADA TADEA itasimamisha wagombea katika nafasi zote za udiwani na ubunge, …

Soma zaidi »