CCM

TUILINDE AMANI KWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025

Ibrahim Hamisi Msaga, mkazi wa Manispaa ya Sumbawanga kata ya Katandala, ameipongeza serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo katika Mkoa wa Rukwa. Ametaja miradi hiyo kuwa ni pamoja na ujenzi wa Uwanja wa Ndege, Hospitali za kisasa, na shule zenye miundombinu bora …

Soma zaidi »

TUSHIRIKI UCHAGUZI KWA KUHESHIMU KATIBA NA KUTHAMINI ELIM- EUNICE ISAACK WILOMO-

Eunice Isaack Wilomo amepongeza juhudi kubwa zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya elimu, hususan kuendeleza elimu bila malipo kwa watoto wa Kitanzania. Amesema serikali ya Awamu ya Sita imeboresha mazingira ya kujifunzia kwa kuweka umeme mashuleni, kuweka madirisha ya kisasa na marumaru kwenye madarasa, jambo linalochochea ubora …

Soma zaidi »

MAANDALIZI YA IFTAR YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA, MHE. PAUL CHRISTIAN MAKONDA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Paul Christian Makonda, anatarajiwa kuwaandalia hafla ya futari (Iftar) wananchi wa Arusha, viongozi wa dini na wazee wa mkoa huu. Iftar hiyo imepangwa kufanyika tarehe 27 Machi 2025 katika viwanja vya ofisi ya mkoa wa Arusha.

Soma zaidi »

NI WAKATI WA KUIMARISHA AMANI KWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025: MCHUNGAJI FIDELISI MAHEKE, NKASI.

Mchungaji Fidelisi Maheke ni Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Agape Life Wilaya ya Nkasi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Makanisa ya Kipentekoste na Katibu wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania katika Wilaya ya Nkasi, ametoa wito wa kuhimiza amani, mshikamano na ushiriki wa wananchi katika uchaguzi mkuu wa 2025. …

Soma zaidi »

VIJANA WA NKASI WAJITOKEZE KWA WINGI UCHAGUZI MKUU 2025 – JUSTINE JANUARI KIBOKO.

Justine Januari Kiboko, mkazi wa Namanyere, Kata ya Majengo, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, ametoa wito kwa vijana wote wa Nkasi kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba 2025. Amesema vijana ni nguvu kazi ya taifa na wanayo nafasi kubwa ya kuamua mustakabali wa nchi kwa kutumia haki yao …

Soma zaidi »

TUIOMBEE TANZANIA IENDELEE KUDUMU KATIKA AMANI: ASKOFU MSTAAFU AMBELE MWAIPOPO.

Askofu Mstaafu Ambele Mwaipopo, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Mkoa wa Rukwa, amepongeza jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza maridhiano ya kitaifa na kusukuma mbele maendeleo ya nchi. Amesema moja ya mafanikio makubwa yanayoonekana mkoani …

Soma zaidi »

MZEE EDWARD PETER MAGANGA VIJANA SIMAMENI KULINDA AMANI NA KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

Mzee Edward Peter Maganga ametoa wito kwa vijana wa Tanzania kusimama imara kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa vitendo, hasa kwa kulinda amani na utulivu wa nchi. Amesema maendeleo yaliyofikiwa hadi sasa yametokana na kuheshimu utaratibu, sheria na misingi ya kidemokrasia ambayo imeijenga Tanzania kuwa taifa lenye mshikamano. …

Soma zaidi »