BUNGE LA TANZANIA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. William Lukuvi, amewahakikishia Watanzania kuwa dawa za kufubaza makali ya Virusi vya UKIMWI (ARVs) zinapatikana kwa asilimia 100 nchini na zinatolewa bila malipo kwa watu wote wanaoishi na VVU (WAVIU).

Amesema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati akitoa Tamko la Serikali kuhusu Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani ambapo kwa mwaka 2025 yamefanyika chini ya kaulimbiu: β€œImarisha Mwitikio, Tokomeza UKIMWI”. Waziri Lukuvi amesema upatikanaji wa dawa hizo umeendelea kuimarika, huku idadi ya WAVIU wanaotumia Dawa za ARV ikiongezeka kutoka …

Soma zaidi »

SERIKALI IMEAHIDI KULIFANYIA KAZI SWALA LA MABADILIKO YA KATIBA – RAIS. DKT. SAMIA

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kulipa kipaumbele suala la mabadiliko ya Katiba na kwamba hatua mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili kufikia mwafaka unaokubalika kwa Watanzania wote. #kilimobiashara #tanzania #wakulima #fursazakilimo #africa #kilimobora #katibampya #KATIBAYATANZANIA #tanzania #samiasuluhu

Soma zaidi »

BREAKING NEWS: MWIGULU NCHEMBA ATANGAZWA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Leo bungeni, Spika ametangaza rasmi uteuzi wa Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangazo hilo limepokelewa kwa shangwe na pongezi kutoka kwa wabunge na wananchi nchini kote. Tazama video hii kwa taarifa kamili kutoka Bungeni Dodoma na maoni ya viongozi mbalimbali. #Tanzania #MwiguluNchemba #WaziriMkuu …

Soma zaidi »

MHE. RAIS DKT.SAMIA AKIWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA SPIKA MSTAAFU WA BUNGE HAYATI JOB NDUGAI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiwaongoza Waombolezaji Kuuaga Mwili wa Spika Mstafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, leo tarehe 10 Agosti, 2025.

Soma zaidi »

TATHMINI YA HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIVUNJA BUNGE JIJINI DODOMA – 2025 πŸ›οΈ

Katika video hii tunakuletea uchambuzi wa kina na tathmini ya hotuba ya kihistoria iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kulivunja Bunge la 12 jijini Dodoma. Rais Samia amegusia mafanikio ya serikali ya awamu ya sita, changamoto zilizokumbwa, na dira ya …

Soma zaidi »

πŸ”΄ LIVE: RAIS SAMIA KUHUTUBIA BUNGE LEO JIJINI DODOMA

πŸ“DODOMA | Juni 26, 2025 πŸ”΄ LIVE: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, anahutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania moja kwa moja kutoka Jijini Dodoma. Katika hotuba hii muhimu, Mhe. Rais Samia atazungumzia masuala ya kitaifa ikiwemo maendeleo ya kiuchumi, huduma za kijamii, …

Soma zaidi »

πŸ”΄ LIVE: RAIS SAMIA KUHUTUBIA BUNGE LEO JIJINI DODOMA

πŸ“DODOMA | Juni 26, 2025 πŸ”΄ LIVE: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, anahutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania moja kwa moja kutoka Jijini Dodoma. Katika hotuba hii muhimu, Mhe. Rais Samia atazungumzia masuala ya kitaifa ikiwemo maendeleo ya kiuchumi, huduma za kijamii, …

Soma zaidi »